Wednesday, April 26, 2017

BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA. Ndugu Ambilikile Mwanyaluke Panja Mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Ihanda ndiye Binadamu aliye na Umri mkubwa kuliko wanaodaiwa kushikiria Rekodi ya kula Chumvi nyingi Duniani kwa sasa. Mzee Ambilikile Panja ambaye alishuhudia Vitaa kuu zote Mbili za Dunia kwa ukaribu, anakadiriwa kuwa na Umri wa wa zaidi ya miaka...
UZINDUZI WA ALBAM HII YA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI ALIMAARUFU KWA JINA LA NYELANYELA Utafanyika tarehe 7/5/2017 ataambatana na waimbaji wengi sana baadhi yao wametajwa hapo juu AMBATANA NASI MPAKA SIKU YA TUKIO  TUTAWALETEENI HISTORIA FUPI YA MWIMBAJI HU...
Kiongozi wa kundi maarufu la Nyimbo za Asili la Makhirikhiri la nchini Botswana, Mosesi Malapela a.k.a Shumba Ratshega, ametangaza kumrudia Mungu baada ya kuokoka na kuanza kuhubiri neno la wokovu. Habari za uhakika kutoka kwa Msemaji wa Kundi la Makhirikhiri Tanzania, Livingstone Mkoi zilieleza kuwa, kwa sasa kiongozi huyo amezaliwa upya baada ya kuachana na kila kitu cha kidunia...

Saturday, April 22, 2017

...
...
...
...
...
...
...

Thursday, April 20, 2017

                                                                                          DOWNLOAD ...
                                                                 DOWNLOAD ...

Monday, April 17, 2017

                            DOWNLOAD AUDIO GETRUDER MWASILE -VUMILI...
...
...
In habari njema zenye furaha teleee KIJANA WA UDOM MUSA MPUME (DAKTARI MWIMBAJI) anatarajia kufanya uzinduzi WA Album yake ya kwanza tarehe 23/4/2017 jumapili Mahali tukio litakapofanyika ni CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM) KITIVO CHA ELIMU (COED) THEATRE 4 mahali ambapo ibada za USCF hufanyika HATO KUWA PEKE YAKE ATAAMBATANA NA WAIMBAJI MBALIMBALI WA INJILI DODOMA NA TANZANIA...

Saturday, April 15, 2017

Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, imemuhukumu kifungo cha nje cha miezi sita na kulipa faini ya Sh1 milioni, Aman Mwasote baada ya kutiwa hatiani kwa kumwita mtoto wa miaka tisa kuwa mchawi. Mwasote, ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za Injili alishtakiwa kwa kutoa kauli kuwa mtoto huyo huwaloga wanafunzi na walimu alipokuwa kwenye mkutano wa injili. Hukumu hiyo ilitolewa...

Friday, April 14, 2017

                           DOWNLOAD HAPA AUDIO YA PHILIMON TOKA UDOM ...

Tuesday, April 11, 2017

Good Morning my people, today is 12 April 2017 and as usual my daily morning I give big news on the pages of newspapers from the Beginning and End of the Retort, Hardnews and Sports to find out what is going on my man do not let me stay close. ...
Kikundi cha muziki wa injili kutoka jijini Mwanza nchini Tanzania kinachojulikana kama Kihayile Group kimechaguliwa kushishiriki katika tuzo kubwa kabisa za nchini England(London uingeleza) zinazojulikana kama AGMMA 2017 yaani African Gospel Music & Media Awards. AGMMA ni tuzo kubwa kabisa ambazo hutolewa nchini uingeleza kwaajili ya kutambua mchango mkubwa...
Hayawi Hayawi sasa yamekuwa,lile tukio kubwa kabisa lililokuwa likisubiriwa kwa hamu na wengihatimaye siku imewadia.Si kingine bali ni harusi ya mwimbaji mahiri wanyimbo za injili kutoka nchini Tanzaniaanayefahamika kwa jila la Madam Frola ambayeatafanya sherehe kubwa ya harusi tar 30/4/2017katika ukumbi wa Kishimba Beach iliyopomkabala na Rock Beach Garden jijini...

Monday, April 10, 2017

...
...
...

Sunday, April 9, 2017

...

Saturday, April 8, 2017

 LEO IKIWA NI SIKU YA TAREHE 9 may 2017 jumapili VIJANA NA INJILI  TUNAWALEA MAGAZETI YOTE YA TANZANIA SOMA UPATE TAARIFA,MATUKIO NA HABARI ILI UPATE MAARIFA NA UFAHAM WA TAIA LAKO NA MATAIFA MENGNE YAKO ...
Powered by Blogger.

Popular Posts

Our Facebook Page

Video