Tuesday, October 17, 2017

                                                                DOWNLOAD M...
                                       DOWNLOAD AU...

Thursday, October 12, 2017

NMEUONA MKONO WA BWANA Huu ni wimbo wa kwanza kabisa kutolewa video na kikundi cha waimbaji toka jiji la MBEYA Chini ya usisamizi wa mtumishi wa Mungu SETH ambae ni mtoto wa mchungaji mwaigomole katika kanisa ambalo band hii inahudumu MASHUJAA BAND .Akiongea na mwakilishi wetu wa vijana na injili MBEYA kupitia blog hii mwenyekiti wa BAND  Hiyo amesema wanatalajia...

Monday, October 9, 2017

...
...
...
...

Monday, October 2, 2017

 HAUJUI LINI UTAKUWA MGONJWA ,HAUJUI LINI UTAPATA MATATIZO ,TUSAIDIANE,TUOMBEANE       TUSAIDIANE PANAPO MATATIZO                                            ni moja kati ya maneno yenye hekima yaliyopo katika wimbo huu ulioimbwa na EMMANUEL NYELANYELA...
                                                      NI EMMANUEL NYELANYELA  anakuletea wimbo wake mpya uliopo katika albam yake ya NI STORI NDEFUuitwao EE BWANA BARIKI wapo watu wengi wanaofanya huduma kwa kuwasaidia wengine na wengine...
       EMMANUELNYELANYELA Kwa mujibu wake amesema huu ndio wimbo pekee aupendao sana ameshirikiana na rafiki yake kipenzi YOHANA CHETI MAHENGE ,.wazo la kutunga wimbo akiongea nasi amesema kuwa alipata maono haya akiwa kidato cha sita na alipomaliza shule ndipo akaamua kuingia studio na hatimae leo ameuachia hewani .Pia ana ALBAM iitwayo ni STORI NDEFU...
Powered by Blogger.

Popular Posts

Our Facebook Page

Video