
Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA)
limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato
cha nne (CSEE) na QT kwa mwaka
2016. Jumla ya watahiniwa 277,283 ambao ni
sawa na asilimia 70.09 ya watahiniwa
waliofanya mitihani kidato cha nne 2016
wamefaulu.
Wasichana waliofaulu ni 135,859 ambao ni
swa na asilimia 67.06 wakati wavulana
waliofaulu ni 142,424 sawa na asilimia 73.36.
Kwa mwaka...