Sunday, February 26, 2017

...
...
...
...
ALIE KULIA MWENYE SUTI NYEKUNDU NDIO emmanuel nyelanyela kama wewe ni mwimbaji  na uanataka nyimbo zako  zionekane kwenye mitandao ya kijamii na watu waweze kudownload tutafute vijana na injili  tunaupload VIDEO ,AUDIO NA TUNAFANYA KAZI YA KUTANGAZA MIKUTANO .NA UZINDUZI MBALIMBA...

Saturday, February 25, 2017

APPLY History & Geography Teacher (A- Level) Education & Teaching Details Employer Name: Gili Secondary School Organization Type: Private Sector Role: Experienced Position Type: Full Time Location: Pwani Kibaha Mjini Application Deadline: 03-03-2017 Listed on: 14-02-2017 Description Application Instructions We are looking for A level professional and experienced teacher...

Tuesday, February 21, 2017

JESHI la polisi Mkoani Mbeya, linamshikilia mfanyabiashara maarufu Jijini Mbeya, Steven Samweli maarufu kwa jina la MARANATHA, kwa tuhuma za kujihusisha na biashara za dawa za kulevya. Maranatha ni mfanyabiashara mkubwa Jijini Mbeya akijijengea jina kubwa kutokana na kumiliki Pharmacy kubwa iliyopo maeneo ya Kabwe,Jiji Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Dhahiri Kidavashari alisema...

Sunday, February 19, 2017

Flora Mbasha Kwa ufupi Sakata hilo linaweza kuibua mjadala miongoni mwa waumini wa dini ya Kikristo ambayo pamoja na kuruhusu ndoa kuvunjika, ni nadra sana kwa makanisa kuidhinisha suala hilo. Advertisement By Beatrice Moses, Mwananchi bmoses@mwananchi.co.tz Dar es Salaam. Baada ya wanandoa ambao ni wanamuziki maarufu wa nyimbo za Injili, kuingia katika mzozo miaka minne...
Lori lililogangana na gari dogo lenye namba za usajili T353 DGE na kusababisha Vifo vya watu kadhaa TANZIA: Ajali mbaya iliyotokea usiku wa kuamkia leo maeneo ya Mikese,Morogoro yapelekea kufariki kwa mmliki wa Hoteli iitwayo Villa Park iliyopo Mji mdogo wa Makambako, Wilaya ya Njombe Mkoani Njombe. Mfanyabiashara huyo amefariki papo hapo akiwa na mpenzi wake ambaye hajajulikana...
Utafiti Unaonesha kwamba 63% ya watu duniani wanaamini uwepo wa Mungu, yafuatayo ni Mataifa 5 yanayoongoza kwa idadi kubwa ya watu wasiyoamini uwepo wa Mungu (Atheism). 1. China. Ikiwa na wapagani asilimia 30%, huku asilimia 47% ya watu hawaamini kabisa kama Mungu yupo. 2. Japan. Ikiwa na asilimia 31% ya wapagani, huku asalimia 31% ya wajapani hawaamini kabisa kama Mungu yupo. 3....

Monday, February 13, 2017

Na Ibrahim Yassin, Kyela MKAZI wa Kitongoji cha Njisi, Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela, Tummanye Makula (35) , amekaa na ujauzito miezi 13 na kushindwa kujifungua. Hata hivyo, baada ya maombezi, alijikuta akijifungua chura na baadaye mdudu wa ajabu akiwa na manyoya meusi. Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya dada huyo kumpigia simu Mchungaji wa Kanisa la Tample...

Friday, February 10, 2017

DOWNLOAD M...
                                                              DOWNLOAD AU...

Wednesday, February 8, 2017

Askofu mstaafu wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida mjini Dk. Paul Samweli, amesema suala la serikali ya Dk. John Magufuli kusisitiza ulipaji wa kodi na ushuru ni utekelezaji wa maagizo ya Yesu Kristo, hivyo waumini na Watanzania kwa ujumla, wanatakiwa kutii na kuzingatia wajibu wao huo. Akiijengea nguvu hoja yake hiyo, amesema kwa mujibu wa kitabu kitakatifu cha Mungu cha...
Saa chache baada ya kutakiwa kufika polisi na mkuu wa mkoa Paul Makonda kutoa taarifa juu ya madawa ya kulevya,Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Josephat Gwajima Amepost Ujumbe picha huu ambao wataalamu wa mambo wanadai kuwa ni kama jibu kwa Mheshimiwa Makonda ...

Friday, February 3, 2017

UZINDUZI UZINDUZI UZINDUZI AMBAO HUJAWAITOKEA  NI MWANADADA  MWIMBAJI AILEN NICHORAS ANAKULETEA ALBAM YAKE YA KWANZA INAYOKWENDA KWA JINA LA  SITAKI  KUKUMBUKA HATA KUWA PEKE YAKE ATAAMBATANA NA WAIMBAJI MACHACHALI NA WENYE KUMWABUDU NA KUMSIFU MUNGU KATIKA VIWANGO VYA JUU  NA NI KAMA WAFUATAO USCF CHOIR -------UDOM EMMANUEL NYELANYELA  STEWART...
Powered by Blogger.

Popular Posts

Our Facebook Page

Video