
Na Ibrahim Yassin, Kyela
MKAZI wa Kitongoji cha Njisi,
Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela,
Tummanye Makula (35) , amekaa
na ujauzito miezi 13 na
kushindwa kujifungua.
Hata hivyo, baada ya maombezi,
alijikuta akijifungua chura na
baadaye mdudu wa ajabu akiwa
na manyoya meusi.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa
wiki baada ya dada huyo
kumpigia simu Mchungaji wa
Kanisa la Tample...