Monday, October 2, 2017


       EMMANUELNYELANYELA
Kwa mujibu wake amesema huu ndio wimbo pekee aupendao sana ameshirikiana na rafiki yake kipenzi YOHANA CHETI MAHENGE ,.wazo la kutunga wimbo akiongea nasi amesema kuwa alipata maono haya akiwa kidato cha sita na alipomaliza shule ndipo akaamua kuingia studio na hatimae leo ameuachia hewani .Pia ana ALBAM iitwayo ni STORI NDEFU na huu wimbo upo katika hiyo albam ,.yuko tayarikutumika mahali popote pale katika hii Dunia kwa mawasiliano mpigie au tuma sms za kawaida au wasapu  0766867600, 0673008678
                                      bonyeza hapa kuupata  DOWNLOAD MP3
                                               http://quamiller.com/2Nan

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Popular Posts

Our Facebook Page

Video