Monday, December 11, 2017


SIKILIZA WIMBO WA MTUMISHI WA MUNGU 
emmanuel Stephano MGALLAH alimaarufu kwa jina la NYELANYELA
Mwanachuo na mwimbaji wa nyimbo za injili ameuachia wimbo wake hii leo
kuwa wa kwanza kuupakua

                          Bonyeza kwenye maandishi ya Blue ili uwe wako katika simu yako
                                                         DOWNLOAD MP3

Monday, December 4, 2017



                                                             bonyeza hapa chini ili uipakue
                                                                   DOWNLOAD AUDIO

Tuesday, November 21, 2017

Double M Studio wanakuletea OFA MAALUM
Kwa waimbaji wa nyimbo za injili Mbeya
Katika msimu huu wa sikukuu ya Chrismas kwa kurecod nyimbo moja kwa Tsh.30000 ofa hii ni kuanzia Leo mpaka tarehe 1/1/2018 nyote mnakaribishwa
Wako Mbeya airport
Kazi zao ni zenye ubora wa hali ya juu
Watafute kwa mawasiliano
hapo Kwenye tangazo la njia picha.

Tuesday, October 17, 2017

  
                                                             DOWNLOAD MP3



                                       DOWNLOAD AUDIO

Thursday, October 12, 2017



NMEUONA MKONO WA BWANA




Huu ni wimbo wa kwanza kabisa kutolewa video na kikundi cha waimbaji toka jiji la MBEYA
Chini ya usisamizi wa mtumishi wa Mungu SETH ambae ni mtoto wa mchungaji mwaigomole katika kanisa ambalo band hii inahudumu MASHUJAA BAND .Akiongea na mwakilishi wetu wa vijana na injili MBEYA kupitia blog hii mwenyekiti wa BAND  Hiyo amesema wanatalajia kufanya mambo makubwa sana jijini hapa katika huduma ya uimbaji hasa musiki wa kuimba kwa vyombo yaani live performance .hiini kwasababu kuna band chache sana ambazo huimba musiki wa live kwa kizazi hiki

pia wako tayari kjutumikasehemu yeyote ile ndani na nje ya Tanzania
kwa mawasiliano zaidi tazama cover hiyo hapo juu




Monday, October 9, 2017

Monday, October 2, 2017

 HAUJUI LINI UTAKUWA MGONJWA ,HAUJUI LINI UTAPATA MATATIZO ,TUSAIDIANE,TUOMBEANE       TUSAIDIANE PANAPO MATATIZO                                            ni moja kati ya maneno yenye hekima yaliyopo katika wimbo huu ulioimbwa na EMMANUEL NYELANYELA MGALLAH toka T.A.G. Beroya MBALIZI-MBEYA kwa mawasiliano usisite kumtafuta kutumika kwenye mikutano,semina,kongamano, tamasha,uzinduzi n.k  0766867600
                                          bonyeza hapa>DOWNLOAD MP3

                                                     
NI EMMANUEL NYELANYELA 
anakuletea wimbo wake mpya uliopo katika albam yake ya NI STORI NDEFUuitwao EE BWANA BARIKI
wapo watu wengi wanaofanya huduma kwa kuwasaidia wengine na wengine kwa kuwasaidia wasiojiweza kwa njia ya matoleo,misaada n.k. wimbo huu ni kwa ajili ya wote wanaofanya misaada mbalimbali ili kufanya huduma ya MUNGU kusonga mbele .HAKIKA NI MZURI NA WENYE KUFARIJI SANA .mtafute nyelanyela kwa 0766867600
        BONYEZA HAPA KUUPATA  >DOWNLOAD MP 3


       EMMANUELNYELANYELA
Kwa mujibu wake amesema huu ndio wimbo pekee aupendao sana ameshirikiana na rafiki yake kipenzi YOHANA CHETI MAHENGE ,.wazo la kutunga wimbo akiongea nasi amesema kuwa alipata maono haya akiwa kidato cha sita na alipomaliza shule ndipo akaamua kuingia studio na hatimae leo ameuachia hewani .Pia ana ALBAM iitwayo ni STORI NDEFU na huu wimbo upo katika hiyo albam ,.yuko tayarikutumika mahali popote pale katika hii Dunia kwa mawasiliano mpigie au tuma sms za kawaida au wasapu  0766867600, 0673008678
                                      bonyeza hapa kuupata  DOWNLOAD MP3
                                               http://quamiller.com/2Nan

Monday, August 28, 2017

Tuesday, August 15, 2017



                                                                DOWNLOAD MP3


                                                           DOWNLOAD MP3

Wednesday, August 2, 2017

                                                          DOWNLOAD AUDIO

Sunday, July 30, 2017





                                                             DOWNLOAD AUDIO HAPA

                                                             
                                                               

Sunday, July 16, 2017



HUYU NI MWIMBAJIB WA NYIMBO ZA INJILI TOKA MBALIZI MBEYA
GETRUDER MWASILE
atazindua albam yake ya kwanza ya audio
tarehe 13/8/2017
katika kanisa la E.A.G.T MAKIMBILIO LILILOPO SHULE YA MSINGI MBALIZI MOJA
KWA MCHUNGAJI  ESILI MWASUNDA
WAIMBAJI MBALI MBALI WATAKUWEPO
KUWA NASI VIJANA NA INJILI TUTAKUJUZA YOTE

Saturday, July 8, 2017

Wednesday, June 14, 2017

                                                              DOWNLOAD MP3

Thursday, June 8, 2017

Sunday, June 4, 2017

                                                DOWNLOAD AUDIO NEEMA CHOMO

Saturday, May 6, 2017

MTUMISHI WA MUNGU MIRIUM CHIRWA ATAKUWEPO KUMSAIDIA EMMANUEL NYELANYELA MGALLA HII HAPA CHINI NI PICHA YAKE MIRIUM CHIRWA 
ataambatana na baba yake mzazi


                 
HISTORIA FUPI YA EMMANUEL NYELANYELA MGALLAH

kwa jina lake la kuzaliwa ni emmanueli baba yake ni stephano na mama yak ni TUSAIWE
Ni mzawa wa kijiji cha NSALALA -MBALIZI-MBEYA
ni mwanafunzi amesoma shule kama
NSALALA PRIMARY SCHOOL hapa alisoma miaka sita darsa la saba alimalizia shule ya msingi MLIMARELI,sSHULE YA UPILI amesoma USONGWE  kidato cha tano na sita KYELA DAY
Mpaka sasa 7/5/2017 ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma,
HISTORIA YA UIMBAJI
Emmanuel stephano Mgallah maarufu kwa NYELANYELA
alianza kuimba tangu akiwa mtoto ,alianza kuimba nyimbo za bongo fleva kisha alipofika darasa la tano akaanza kuimba nyimbo za injili na kujihusisha katika kwaya za Sunday school kanisani
NI muumini wa makanisa ya kipentecoste yaani TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD (T.A,G) BEROYA MBALIZI MBEYA .
Amepitia katika kwaya na band mbalimbali kama vile ARMY-BAND,angels choir,chapaulinje n.k
alianza kutoa nyimbo zake binafsi za kwa kurekodiwa mwaka 2013 akiwa kidato cha tano
mpaka sasa ana nyimbo zaidi ya kumi


anapatikana kwa mawasiliano yafuatayo
Emmanuel Nyelanyela s S,Mgallah(facebook na YOUTUBE)
emmanuelmgallah92@gmail.com
0766867600
0673008678


Wednesday, April 26, 2017

BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA.

Ndugu Ambilikile Mwanyaluke Panja Mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Ihanda ndiye Binadamu aliye na Umri mkubwa kuliko wanaodaiwa kushikiria Rekodi ya kula Chumvi nyingi Duniani kwa sasa.

Mzee Ambilikile Panja ambaye alishuhudia Vitaa kuu zote Mbili za Dunia kwa ukaribu, anakadiriwa kuwa na Umri wa wa zaidi ya miaka 127 leo.

Mkazi huyo wa Kitongoji cha Izyika ambaye kwa sasa haoni wala Kusikia vyema amemsimlia mwandishi wa makala hii kuwa wakati wa Vita ya Maji Maji dhidi Wakoloni alikuwa tayari anachunga mifugo ya Baba yake Marehem Mwanyaluke Panja.

Mzee Ambilikile Panja Kabila Mndali kutoka Tarafa ya  Bundali Ileje anasema, Wakati wa Vita ya Maji Maji "Wazazi wetu walitwambia tukiona Wazungu tuiache mifugo tukimbie kurudi nyumbani" anasema Mzee Panja.

Mzee Panja ambaye kwa sasa hawezi kusimama wala kutembea anasema, Vita ya Kalenga (Mkwawa) haikuwahi kufika kwao Ileje, Isipokuwa Vita ya Pili ya Dunia ilifika mpaka Mbozi.

Anasema Vita ya Hitler, (Vita ya Pili ya Dunia) ilianza Wakati yeye akiwa ameshakimbia kutoka Ileje na kuhamia Mbozi (Kijiji cha Ihanda) baada ya Kupora Mke wa Chifu.  Anasema yeye mwenyewe alishuhudia Mzungu aliyekuwa na Nywele mwili Mzima mithili ya Mnya akiwa amekimbia kujiokoa na Maadui zake. "Tulipo muona huyo Mzungu, tulidhani ni Mnyama kumbe ni Binadamu", anasema kwa Kindali huku akishusha Kicheko hafifu kilichofuatiwa na Kikohozi cha Ukongwe.

Mzee Ambilikile anasema Wakati wa Vita ya Hitler tulilazimika kuchimba Mashimo {Mahandaki} ya kujificha kuleee Lwibhaaa (Kitongoji cha Mlimani Kijiji cha Ihanda) <<Handaki hili lipo mpaka sasa eneo hilo.>>

Mzee Panja ambaye mtoto wake wa Kwanza Marehemu Leonard Panja alifariki dunia kutokana na Uzee, mwaka 2014 akiwa na Umri wa miaka 98 anasema Marafiki zake wote, pamoja na Maadui zake wakiwamo Machifu aliokuwa anapingana nao, wote wameshatangulia mbele za haki amebaki pekee yake.

"Mimi nilitoka Kapelekeshi nikaenda kuishi Ibungu Itumba na baadae nikahamia hapa Mbozi. Hapa nilikuja na Mke wangu Mkubwa Agnes Mlawa na Watoto wangu watatu Leonard, Lassary na Pitros pamoja na Zacharia Panja na marehemu Mbonasi Panja (watoto wa ndugu zake)"
anasimulia mzee Panja.

Mzee Ambilikile kwa sasa ni Kikongwe asiyeweza kufanya Chochote bila ya Msaada wa mtu mwingine. Mzee kwa sasa hubebwa au kusukumwa na Kiti cha Magurudumu (Wheel Chair) ambayo humsaidia kwa ajili ya kusogezwa eneo moja hadi jingine.

Kwa sasa Mzee huyu anaishi na Mke wake wa 4 Bi. Atusajigwe Mshani wa Mwisho katika wake zake ambaye naye kwa sasa ni mzee mwenye Umri wa miaka 89 licha ya Kuwa ana umri sawa na Mzaliwa  wa tano wa Mzee Ambilikile Panja.

Aidha, kwa mujibu wa mtoto wa Mwisho wa Mzee Panja ambaye ndiye hutunza takwimu za familia ya Mzee Ambilikile, Ndugu Lawrence A. Panja; Baba yake anadhaniwa alizaliwa mwaka 1890 Katika Kijiji cha Kapelekeshi Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe.

Kikongwe huyu hajulikani popote zaidi ya Vijiji vinavyo mzunguka. Hata Serikali ya Wilaya tu haijui kuwa ina Raia wake mwenye Umri mkubwa namna hii.

Ni wajibu wetu kama Nchi kusaidia dunia kumfahamu Babu huyu mwenye Umri Mkubwa kuliko wengine. Ni jukumu la Wandishi na Vyombo mbalimbali pamoja na  Mitandao ya Kijamii kuujulisha Ulimwengu Mtu huyu anayeishi maisha ya mwendo wa Marathon kwa sasa.

Sio kila siku tunafuatilia na kusimulia mambo ya Mataifa ya Nje wakati MUNGU na sisi katupendelea. Kama tumeweza kuuambia ulimwengu Mlima Kilimanjaro unapatikana Tanzania na sio Kenya basi na hili tunaweza tukiamua.

Mwisho naomba Viongozi wa Serikali, Siasa, Dini Mashirika ndani na nje ya Nchi, pamoja na Wananchi mbalimbali kujitolea kumsaidia na kumtunza Mzee Panja ambaye kwa Umri wake ni kama Lulu iliyosalia Duniani kwa sasa.

Mwandishi wa Makala hii ni Ndugu Abel Sichembe

Email abelchembe37@gmail.com

Simu No. +255757281046

WhatsApp No. +255655281046

Share, Like, Coment, Re post, Sambaza mpaka iwafikie Guineas World of Record.




UZINDUZI WA ALBAM HII YA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI ALIMAARUFU KWA JINA LA NYELANYELA
Utafanyika tarehe 7/5/2017
ataambatana na waimbaji wengi sana baadhi yao wametajwa hapo juu
AMBATANA NASI MPAKA SIKU YA TUKIO  TUTAWALETEENI HISTORIA FUPI YA MWIMBAJI HUYU

Kiongozi wa kundi maarufu la Nyimbo
za Asili la Makhirikhiri la nchini
Botswana, Mosesi Malapela a.k.a
Shumba Ratshega, ametangaza kumrudia
Mungu baada ya kuokoka na kuanza
kuhubiri neno la wokovu.
Habari za uhakika kutoka kwa Msemaji
wa Kundi la Makhirikhiri Tanzania,
Livingstone Mkoi zilieleza kuwa, kwa
sasa kiongozi huyo amezaliwa upya
baada ya kuachana na kila kitu cha
kidunia na kuamua kumtumikia Mungu
katika maisha yake.
Livingstone alifunguka: “Ni kweli
Shumba amenieleza kuwa niwaambie
Watanzania kuwa anawaheshimu na
kuwakumbuka kutokana na mapokezi
makubwa waliyompa mwaka 2010
alipofika Tanzania kufanya matamasha
yake yaliyoandaliwa na Kituo cha Radio
Times FM na kumpa mafanikio
makubwa.
“Shumba anasema kuwa katika maisha
yake mapya ya utumishi wa Mungu
amekuwa akiiombea sana Tanzania
pamoja na Rais Dk. John Pombe
Magufuli.
“Kuhusu kuimba anasema ataendelea
kuimba tu na kundi lake halitakufa kwa
vile ule ni utamaduni wao wa asili.”
Mkoi aliongeza: “Tayari mtumishi huyo
ameanza ujenzi wa kanisa lake kubwa
kwenye mji mkuu wa nchi hiyo
(Gaborone) kwa ajili ya kuhubiri Neno la
Mungu.

Saturday, April 22, 2017

Thursday, April 20, 2017


                                
                                                          DOWNLOAD MP3

                                                                 DOWNLOAD MP3

Monday, April 17, 2017


                            DOWNLOAD AUDIO GETRUDER MWASILE -VUMILIA


In habari njema zenye furaha teleee
KIJANA WA UDOM
MUSA MPUME (DAKTARI MWIMBAJI)
anatarajia kufanya uzinduzi WA
Album yake ya kwanza tarehe
23/4/2017 jumapili
Mahali tukio litakapofanyika ni
CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM)
KITIVO CHA ELIMU (COED)
THEATRE 4
mahali ambapo ibada za USCF hufanyika

HATO KUWA PEKE YAKE ATAAMBATANA NA WAIMBAJI MBALIMBALI WA INJILI DODOMA NA TANZANIA KWA UJUMLA
KAMA VILE
VICTOR KATUMBATU
FRANCIS AMOSI(FRAMO OF GOD)
KIBONA BAND
HOLLY CELEBRATION
DAVID BIKULAKO
nyelanyela mgallah

Na waimbaji wengiii kama walivyotajwa hapo juu katika

USIPANGE KUKOSA SHUGHULI HII MUHIMU SANAAAA

Saturday, April 15, 2017



Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, imemuhukumu kifungo cha nje cha miezi sita na kulipa faini ya Sh1 milioni, Aman Mwasote baada ya kutiwa hatiani kwa kumwita mtoto wa miaka tisa kuwa mchawi.

Mwasote, ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za Injili alishtakiwa kwa kutoa kauli kuwa mtoto huyo huwaloga wanafunzi na walimu alipokuwa kwenye mkutano wa injili.

Hukumu hiyo ilitolewa juzi na Hakimu Mkazi, Venance Mlingi aliyesema mahakama imeridhishwa na ushahidi uliotolewa na mashahidi wanne wa upande wa Jamhuri kwamba, Mwasote alitenda kosa hilo.

Awali, Wakili wa Serikali, Xaveria Makombe alidai mshtakiwa alitenda kosa hilo Septemba 20, mwaka jana eneo la Shule ya Msingi Kalobe, akiwa kwenye mkutano wa hadhara wa Injili.

Hakimu Mlingi alisema mshtakiwa atatumikia kifungo cha nje kwa kufanya shughuli za kijamii na Aprili 20 atatakiwa kufika mahakamani ili apangiwe shughuli ya kufanya.
15Apr2017

Friday, April 14, 2017


                           DOWNLOAD HAPA AUDIO YA PHILIMON TOKA UDOM


Tuesday, April 11, 2017

Good Morning my people, today is 12 April
2017 and as usual my daily morning I give
big news on the pages of newspapers from
the Beginning and End of the Retort,
Hardnews and Sports to find out what is
going on my man do not let me stay close.

Powered by Blogger.

Popular Posts

Our Facebook Page

Video